Solonge swagga zake bwana....ka mie ;)
mnasonyajeee?!!
Tuesday, May 3, 2011
MWAMVITA & SUZAN 4 Fortune Most Powerful Women Summit
Monday, May 2, 2011
WEEK END HII NILIKUWA ARUSHAAA......kikazi zaidiii
kilichonipelekaaaa nitakuneosha hapa hapa we nenda kazuge zuge huko kisha urejeeeee.....nilijinywea zangu chai kwa karotiiiiiiiiii (dogo Janja voice ;) .......)
NIKAPITA NJIRO COMPLEX........NDANI YASHEAR ILLUSSIONS
watu wa arushaaaa mna bahati mambo mazuriiii hayooo ndani ya shear kajisevieniiiii
KUNA PERFUM ZA UKWELI.......KUNUKA KIKWAPA KUPENDA JAMANI PERFUM ZA KIKE KWA ZA KIUMEEEE......HATA KWE WENYE ALLERGE WANA ZA KWAO AMBAZO HARUFU YAKE IMETULIAAAAAA.......PERFUM HIZI SI ARUSHA PEKEEE.......ni katika maduka yoote ya SHEAR ILLUSIONS HATA YA HAPA DAR ES SALAAM......mie nishatoa K.K.W
Sunday, May 1, 2011
NAWAONJESHAAAA!!
swagga zilikuwa zakikhalat khalat bibi........
Gereee mamaa geree ......ilikuwa LIVE
ILIKUWA NI MWENDO WA MAPOUND TU
DIVA Ashura NDO ALIKUWA stelling
Pachi ikosekanaje...na tena ilisimamiwa na Yasmin Mama ya London
wajua kucheza warumba weyeeeeee.....warumba ni zaidi ya nyonga bibi weeee, watu wanagaragaraa......wanasota na matako, wanatoa style ya mkuno wa naziii (inakupa alama ya kuuliza hii eee ;)....mradi tu rahaaa nilijionea mwenzenu...kibao kata nacho kilikuwepo lakini
mna hamu eeee......kolezeni naziiiiii ;)
Subscribe to:
Posts (Atom)
















