Wednesday, March 31, 2010
Tuesday, March 30, 2010
NICE BIRTHDAY PARTY
naona kulikuwa na sare kabisaaa
RAY THE GREATEST
ANGALIZO!!
Hii nimeipata kwa Nuru the Light "Trend Alert" Katika pita pita katika facebook picha za marafiki nikakutana nayo na picha ya Monica (Mama JJ) akiwa ndani ya Navy tailor stripes
....Imenivutia kwa kuvaa kama mtoko wa casual. Watanzania sasa hivi nawaaminia.Nitumie picha yako kama unayo. Yaweza kuwa Chupi, Gauni, Tai za kina kaka n.k
....Imenivutia kwa kuvaa kama mtoko wa casual. Watanzania sasa hivi nawaaminia.Nitumie picha yako kama unayo. Yaweza kuwa Chupi, Gauni, Tai za kina kaka n.k


Nitumie ANGALIZO....pitia shamyomy@yahoo.com au shamyomy@gmail.com
JINSI YA KUTUNZA USO WENYE MAFUTA

The first basic rule for oily skin care is to keep it clean so as to kill acne-causing bacteria. It is essential to unclog the pores with exfoliation to prevent breakouts.
ZAIDI INGIA BONGO UREMBO UREMBEKE
Monday, March 29, 2010
REHEMA KIBAO KATA/NGOMA BAIKOKOOO!!
BRIDE::REHEMA MKAMBA
EVENT::KIBAO KATA
DRESS CODE::DIRA JEPESIIII

Bi Rehema akiwa amezungukwa na asuminiiii...anasema ye kaoshwa na mpenda penda kila akienda apendwaaa


HII NDO NGOMA BAIKOKOOO...KINA DADA HAO WAMESIMAMA KIUNO KINAONGEAAA
MASHAALLLAW!!!
RAHAAAA JIPEE MWENYEWEEEEE

Ukiambiwa Mwanamke Nyonga makalio majaaliwa muamini nilijionea kwa huyu mama...wish ningekuwa na moving camera....lol
Watoto wa Muji kasoro Bahari tuliwakilishwa na Mama MONO accesories, Fina Bi harusi wangu na Elizabeth Kobelo



watu walikuwa kama wako kwenye TRENI....mara hujakaa sawa Sambusa, mikate, supu, ukiingia kungu...tukamalizwa nahilo jisupu....ndo milo ya kibao kata hiyo


















Naandaa picha za kitchen party....ENJOY!!!
EVENT::KIBAO KATA
DRESS CODE::DIRA JEPESIIII

Bi Rehema akiwa amezungukwa na asuminiiii...anasema ye kaoshwa na mpenda penda kila akienda apendwaaa

Bi Harusi wetu akijifuaa....kuelekea siku yake ya harusiiiiii...CHEZEEE
HII NDO NGOMA BAIKOKOOO...KINA DADA HAO WAMESIMAMA KIUNO KINAONGEAAAMASHAALLLAW!!!
RAHAAAA JIPEE MWENYEWEEEEE

Ukiambiwa Mwanamke Nyonga makalio majaaliwa muamini nilijionea kwa huyu mama...wish ningekuwa na moving camera....lol
Watoto wa Muji kasoro Bahari tuliwakilishwa na Mama MONO accesories, Fina Bi harusi wangu na Elizabeth Kobelo


watu walikuwa kama wako kwenye TRENI....mara hujakaa sawa Sambusa, mikate, supu, ukiingia kungu...tukamalizwa nahilo jisupu....ndo milo ya kibao kata hiyo

















Naandaa picha za kitchen party....ENJOY!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)












