VENUE::GIRRAFE JET HALL
COLOR::HOT PINK & BROWN
THEME::MAMBO YA PWANI
DESGNER:: MUSTAFA HASSANALI







KILA ALIYEHUDHURIA ALIONDOKA NA HIII KITUUUU......Favors ...wataka jua kilichomo???
kila aloingia alivisha asumini bibii weee na hivi tulikuwa kati kati ya bahariii aaaa kunukiaa tu
kila aloingia alivisha asumini bibii weee na hivi tulikuwa kati kati ya bahariii aaaa kunukiaa tu
MDUARAAAA......KIDOLEEEE JUUU ilikuwa saana tu wenye nyonga zao walinyoka kisawa sawa!!!












MAMBOOOO RED CARPET













Angalizo:: huku pia waalikwa walivaa sare pia na ilinogaaa.....kama wanigeria aka wapopo








No comments:
Post a Comment