VENUE::MSASANI MAKUTI
DECOR::MONICA
COLOR::YELLOW,HOT PINK, APPLE GREEN
CAKE::SPECIAL OCCASION
DRESS DESGNER::MUSTAFA HASSANALI

swagga za Mustafa Hassanali hizooo....vinyoya kidogooo, lulu lulu hv,,,,vichuma vyaninginia ili mradi tu Bi harusi anogee......na alinoga haswaaa


Jamani sio kama nasifia..hii JIUGONJWA ilikuwaaa taamu...hizo mnazoona zimezinguka cake nazo tulikula...mungu anisamehee nilijimegea cake kuubwa nikaenda lilia nyumbani.....iliandaliwa na Monica



rahaaa jipee mwenyeweeeUKAFIKA MUDA WA KUMTUNZA HAWA MKAMBA AMBAYE ALIKUWA MWENYEKITI NA DADA WA BIHARUSI

MIE NILITUMA WAWAKILISHIIII WAKAMFUTE JASHO SHOST ...ushoga kaziiii!!...na nikatumia style ya kufunga kama Zulekha Lodi...chezea, naona wengiii wanaiga style ya kufunga na baaaado..maana naona ile ya zawadi yake maarufu ya cha kidude cha kufukizia udi nacho mwatunzana!!.
Hiki kikundi kilijitambulisha kama kundi la L.A.G.A sio ile mnayoijua kuna kirefu chake
Mduara muhimuuu
Warumba henyaa...ikirindimaaa...oyaa mbona mwacheza kwayaaa...wink
RED CARPET















































ALIYEGUSWAAAAAA?!!!!!















No comments:
Post a Comment