Tuesday, June 1, 2010

MARIAM HENNA PARTY!!

BRIDE::MARIAM
VENUE::ANCLE's PLACE

THEME::INDIAN

MC::MISH BOMBA
ORGANIZER::khadija, Jay Dee, Zainab &Masha







shurti kwa bodigadi nyuma na mbeleee wakiwa wamezibebaaa henna
Maso masooo mwali wetu usimuoneee kwa jicho la hasidi mwali wetu usimuone masooooo.......sio mie ivyoooooo ni kibao kata ndo walikuwa wanaimbaaa
huku bi mariam akiingia ukumbiniiii


MC wetu MISH BOMBAAA mrs MWAKALINGA....CHEZEEEEEEE....Ukimhitaji nibeep!!


HENNA YENYEWE NDO HII SHURTI tashtiti za roses na mishumaa ya kuingaziaaIKAANZA FANYWA KAZI ILOTUPELEKA PALEEE....Henna ilipakaliwa na mawifi Bibi Upooo?!!

WAALIKWA NAO WALIPATA WASAA WA KUPAKWA HENNNA JAPO SUNNNNA


RAHAAAA JIPE MWENYEWEEEEE

hahahahh sio kwanza wanaokota vitu bali ndo kibao kata hicho...nilichoka wasimamisha mnazi mie nikawalaza chiniiiii....wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaa

Aaaaaaa Mariam weeeee...kiunoo chako mwenyeweeee wala hukuaziimaaaa
kUCH KUCH HOTAHEEE NAZO PIA ZILICHEZWAAA
Mwanamkeeee nyongaaaa makalio hata kwa wachina yapoooooooo.....upooo

panch ilipikwa na mwenyewe Mama Some Food....Brew Master...wink
VINYWAJI TULIKUWA NA UJI WA KUNGU......PANCH BILA KUSAHAU KINYWAJI CHA SPONSOR WETU REDDS.......KINYWAJI CHA MASHOST...FULL KUJIAMINI
UGONJWAAA.... hii yaitwa Cake ya dandiii(the most expensive cake)...ni kutokana na hizo tashtiti zinazowekwa bibi ni kwa mujibu wa cataraa wetu......chezeeeee
ze organizers


Rekha.....sirdev....punam.....divya.......wink wapi Amir khan?!!

Burudani ililetwa na wenyeweee ...waukweli na kiboko yao
RED CARPET

NAMASTEE....wink
SHUKRAN kwaaa wooote WADAU WANGU MLONICHANGIA NA MKAFANIKIWA KUKAMILISHA SHUGHULI HII especilly nyie kutoka 8020 fashions nimefurahi saana kwa ushirikiano wenu.......XOXO
ntakuwa mchoyo wa fadhila nisipomshukuru mustafa Hassanali GURU Designer kwa kunitengenezea sarii vyema ambayo iliweza dumu mwanzo hadi mwisho ya shughuli.....im sorry kama nilikosea vaa kama ulivyonifunga kwenye fitting....lol













































SWAGGGGAAAAA!!!!!!
hahahah naona kila mtu alijitahidi kutia swaga za kihindiii hakika mliTISHHAAAA...lazima tupige swaga za kwaoooooooooo...wink

Lol!! akaona isiwe shida ntavaa rangi za Tanzania ila theme ya kihindi upoo...ni ubunifu tu

Riri hair do ya Kihindi pia ilikuwepooo oh nilisahau Mrs Raqey(Indian accent) wink
VIATU VYA KIHINDI VILIKUWEPOOOOO......mmenikunaaa
mbona ilikuwa henna party





Haahahhaha hapa ilikuwa bado PINI la kuja puani tu....wink...nisamehee
lol!! hata nywele zilihindishwaaa
HAHAHAHHAHA WATU WALIJIVISHA MNUKA NUKA BIBI(asmini)KILA WAKIPITAA WANANUKIAAAAA......

ona pua ile ya khadijaaa anashiba harufu tuuuu...maashaallllawww.....Any one from zanzibar nifanye special deliver....lol tu Disminder kama nakuona ulivyostukaKuna watu tu wamejaaliwa rangi zao jamani ...hapa hata mwanga sijaiongezea...so hata wale wanigeria wengine ni waukweli na wala si photoshop kama tunavyojipaga moyoo


CHEZEAAA..... MAMA SASHAAAA
hahahahahah CHEZEAAAA Wadau kwa SWAGGGA wameenda hadi kusearch clutch za kihindi....MMETISHAAAAA


No comments:

Post a Comment