Tuesday, June 28, 2011

BET GREEN CARPET.

unyayooo huo ....kivazi kilifit  mtoko
dada nickiiiiii!!!
hivi majuu hakuna fungas za joto...au akivaa sylvia ndo majotrooooooo?!! ;)
huyu kaambiwa ilibidi zipu ifunguliwe atlist hewa izame maana izo ngozi ni jiko la mkaaa
mchana jotooo na kitu cha satin!!
dada kaulizwa gauni lake la oscar kalivaa huku?!1
                                                     lady Gaga Where r u?!!

No comments:

Post a Comment