Amina Mollel mtangazaji wa TBC ametumia taaluma yake kuwasaidia watu wenye ulemavu kupitia vipindi vya Shajara na Wape Nafasi
Sara Mageni ambaye ni mlemavu anayelea watoto tatima 7 wa ndugu zake waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI.
Baada ya kurusha kipindi kilimgusa Rais Kikwete ambaye alimchangia Sara Bajaj pamoja na milioni 2
Pichani amina akipongezwa na Rais kutokana na mchango wake katika kuwasaidia watu wenye ulemavu kupitia taaluma yake.
No comments:
Post a Comment