Thursday, March 24, 2011

NEW ARRIVALS........@JACKZ COSMETIS

HAYA WADAU KIZURI KULA MWENZIOOOO KKW MAMBO HAYAAAA JACKZ COSMETIC WAMEYASHUSHAAA NI YA UKWE'E HADI RAHAAA UTAYAPATA KATIKA MADUKA YAO YOOTE MAWILI YA KINONDONI NA LILE LA MIKOCHENIIII KWA MAELEZO ZAIDI WATEMBELEE HUMU
WASILIANA NAO:: +255 713 577777


 KUNA MISHUMAA ILOPANDA NDEGE YA VICTORIA SECRET...very romantic INANUKIA LADHA TOFAUTI......FIKA JACKZ UTASKIA HARUFU YAKE JAMANI RAHAAA NYUMBA INUKE VUMBA INAHUUUUU
 KUNA HII SPECIAL YA MASSAGE YAMETHIBITISHWA NA DR KABISAA NI TIBA....JAMANI MASHEMEJI WENGINE KWENDA KULE KWENYE VYUMBA VYA MASSAGE HAWAWEZI...BASI WE SHOST NUNUA UWE WAMFANYIA MASSAGE.
....ni dawa ivyoooo



                                             me nimejisevia hiii.....hadi rahaaa UTANILAMBAAA ;)

WENYE HITILAFU.....DAWA HIZI HAPA...ukiwa na upara kupenda
 HAYA DAWA YA CHUNUSI INGINE HIII HAPA...IKO FULL SET TONER,CLEASER NA TIBA......ukisema ile imekukataaa jaribu hiii basi
                               jina linajielezaaa pita JACKZ UPEWE KAZI ZAKE mie somo yangu hapendi navyojieleza hivi ivoooo
 HEBU CHEKIIII INAVYOONEKANA KISHA UJITUPIA MWILINI...UTANUKIAJE....Haki kunuka kwapa kupendaaa
                    jina hilo jina....huna haja ya kunywa makombe upendeee jipulizie iyoooo tu habandukiii

No comments:

Post a Comment