Wednesday, May 26, 2010

FARIDA KIBAO KATA!!

FARIDA KIBAO K VENUE::HUNTERS



NA NYOTA WAZIRI NDO ALIKUWA SOMO
SOMO NAE ANA SHOGAE ALIMSINDIKIZA SHURTI KUVAA SARE
SOMO AKIMUINGIZA MWALI WAKE....SHURTI ALINDWE NA MACHO CHINI MTOTO WA KIKE USIWE MWALI KIGEGO MACHO HIMA HIMA
IKAFIKA MUDA BI FARIDA AKAINGIZWA ....SHURTI KWA MSAFARAAUKAJA ULE WASAA WA KUJIACHIA RAHA JIPE MWENYEWEE
ACHIA NYONYOOO......washaaaaaaaaa


NA WAPIGA KIBAO KATA NDO HAWAAA


CHAMPEN ILIFUNGULIWA NA MAWIFI



MASOMO HAO WATAKA FUNDWA WEYEEE? NIBEEP


MTU NA SOMOYE!!


TASHTITIIII ZILIKUWA ZAKUTOSHAAA
Ilianza na asumin bibi full kunukishaa

kama hiyo haitoshiii tulifushwaaa udiiiii...tupa kule watu na husdaaa zao na watakufa siku si zao

kama hiyo haitoshiii tukapakwa na hiii...nukia mbayaaa
RED CARPET








Mecky...Movie Star...sambamba na Bilayla Mashauhuuuuu seduction seduction!FLORAH NA AMINA NDO WALIFUNIKAA USIKU HUO......chezee
NILIKOGUSWAAA
uko Juu aka Its Over

VIKUBA NAVYO...eti vyapatikana wapi hv...kuna mtu kaniambia eti niagize zanzibar si vitanyaukaa?
vitupio hivi vinapatikana pia VIATUZI...sea View......
BIBI WEEEE ZOTE ZIKO KWENYE SIKIO MOJA IVYOOOO
HUU MKANDA WA KIUNOOOO MAMY NAAMBIWA HUU SPECIAL WA KUVALIA DIRA


HEAD BAND...from 8020 FASHIONS......kama imekuvutia pitia yako dukani

ALIYEGUSWAAAA???!!!

No comments:

Post a Comment