Monday, May 31, 2010

HAOOOOO NDANI YA UJERUMANIIIII

EVENT::NDOVU SPECIAL MALT.... GRAND GOLD AWARD
VENUE::KURHAUS ,WIESBADEN
DRESS CODE::FULL NGWAMBA

TANZANIA WAAA WIIII WOOOOO!!!......
Bw. Edwin Gafa, kiongozi wa msafara wa Nile Breweries ya Ugandakushoto ambao wamepata tuzo ya kushiriki mara nyingi kwenye Monde Selection.....YETU YAJA...ENDELEA KUZUNGUKA HUMU HUMU UTAIONA SI UNAJUA TUNA GRANDE GOLD
HIZI NDO BAADHI YA BIA ZILIZOSHINDANISHWA NA NDOVU SPECIAL MALT.....Ukipepeza macho kwa makini mnaweza ona hapo na za nyumbani zilizosindikizaa
NA HUYU NDO MPISHI MWENYEWE AKIKAGUA MEZA AONE JEEE AZIDISHE NINI APUNGUZEEE ILI AZIDI PIKA VIZURIIIIII
"ZOTE HIZOOOO TUMEZIGARAGAZAA...TUKO JUU"
"NA HII NDO NDOVU ILITULETA HUKUUU"
UKUMBI ULIPENDEZESHWA HIVI
Hivi ndivyo walivyoanza safari..... Meneja wa Ndovu Lager Oscar Shelukindo akiongozana na Mpishi mkuu wa kampuni hiyo (Brew Master)

No comments:

Post a Comment